Jigi Jigi (feat. Natacha)

Jigi Jigi (feat. Natacha) şarkı sözleri

Orijinal dilSW
Görüntülenme3
Şarkı sözü koordinatları

Orijinal sözler

SW
Çeviri henüz yok. Orijinal sözler gösteriliyor.
18
Iyoo iyoo Aah aah Aah aah Yaga Chai changanya na tui, nijifanye sijui Nimpoteze ma boy Wali mwenzake tui, paka na chui Avie ndani Baya kulazimisha Penzi kwa mtu asiye kupenda hiyo ni mbaya Amenilambisha sukari nguru (aiyo) Ah, heri ungesema tuu Kama si wangu Ameniongeza changanya mbaliga zangu Mtoto black current, mix ya chotara Umeumbika vya maana natacha gurumbi Nikamate kiuno no no no Nikupe vinono no no Usije changanyikiwa eeh Tukiwa kwa bedi Tucheze jigijigi Wa! Wa! Wa! Barnaba majigijigi Wa! Wa! Wa! Jigijigi Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Tutambe ka cheche Wa! Wa! Wa! Natacha Wa! Wa! Wa! Tutambe Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Mapenzi ya kalenda Kujitia unanipenda Njoo Burundi kama unanipenda (aah) Nikupikie mkeke Kisha nikupepee Ngongoni nikubebe (Tukiwa kwa bedi!) Tucheze jigijigi Wa! Wa! Wa! Barnaba majigijigi Wa! Wa! Wa! Jigijigi Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Tutambe ka cheche Wa! Wa! Wa! Natacha Wa! Wa! Wa! Tutambe Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Tucheze jigijigi Wa! Wa! Wa! Barnaba majigijigi Wa! Wa! Wa! Jigijigi Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Tutambe ka cheche Wa! Wa! Wa! Natacha Wa! Wa! Wa! Tutambe Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa! Wa!