Mapenzi Basi

Текст песни Mapenzi Basi

ЖанрHip Hop Rap
Язык оригиналаSW
Просмотры7
Координаты текста

Оригинальный текст

SW
Перевод пока недоступен. Показан оригинальный текст.
18
Mi mwenzenu tena basi Oh mapenzi sitaki Oh mwenzenu tena basi Basi sitaki Yalinifanya nikaugua Mara napanga napangua Mwili ukakonda nikapungua Ah sikulala, sikulala Oh maradhi nikaugua oh Yakanichoma na kuungua roho Kutwa nawaza na kuwazua Sikulala Hayo mapenzi bwana, hayana maana Yalinifanya mi nichekwe Sababu yake nshagombana, nikatukanwa Lakini akanipiga teke Ai haya mapenzi bwana, hayana maana Yalinifanya mi nichekwe Sababu yake nkagombana, usiku mchana Yeye Mi mwenzenu tena basi Oh mapenzi sitaki Oh mwenzenu tena basi Basi sitaki Oh nilishagombana na mama mzazi Akataka nimwagia radhi Sababu yule fulani, yule wa moyo wangu Yakaleta zengwe kwa kazi Ugomvi wa simba na panzi Vurugu kwa majirani Ah, ee Mola wangu Hayo mapenzi bwana, hayana maana Yalinifanya mi nichekwe Sababu yake nshagombana, nikatukanwa Lakini akanipiga teke Ai haya mapenzi bwana, hayana maana Yalinifanya mi nichekwe Sababu yake nkagombana, usiku mchana Yeye Mi mwenzenu tena basi Oh mapenzi sitaki Oh mwenzenu tena basi Basi sitaki